Tuesday 1 July 2014

Mchungaji Frolian Katunzi akiwaombea watu katika moja ya ibada zinazofanyika Kanisa hapo.

Mchungaji Frolian Katunzi akihubiri Kanisani.

Baadhi ya waumini  wa Kanisa la EAGT City wakiwa katika maombi mazito.

Hiyo ni moja ya irizi aliyokutwa nayo mmoja wa watu katika ibada ya maombezi iliyofanyika katika Kanisa la EAGT City Center chini ya mchungaji kiongozi Frolian Katunzi.Add caption

Baadhi ya waumini wa Kanisa la EAGT City Center wakiwa katika ibada ya kusifu na kuabudu.



Waumini wa Kanisa la EAGT City Center wakimiminika kwa maombi mazito baada ya kimbunga cha roho mtatifu kuwapitia.




Total Pageviews

Eagt City Centre Blog 2013. Powered by Blogger.

About Me

My photo
Jicho langu latoka machozi lisokome,wala haliachi;Hata BWANA atakapoangalia. Nakutazama toka mbinguni Maombolezo 3:49-50

Followers

Featured Posts

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget