Saturday 21 May 2016


Imeelezwa kuwa katika kongamano la siku tisini watu mbalimbali waliokuwa na matatizo na shida mbalimbali wamefunguliwa na kuwekwa huru na wengi wameshuhudia jinsi Mungu alivyo wafungua katika taabu zao.
Akifundisha katika kongamano hilo mchungaji kiongozi wa kanisa la EAGT City Center Mchungaji Florian Katunzi alisema kuwa katika kongamano hilo kuna maombi ndani mwa maombi ambao  kuna vipengele mbalimbali na kwa wiki hiii inahitimika na kiengele cha kumiliki na kutawala.
Mchungaji Florian Katunzi akionesha mkufu na kizibo ambayo alitapika binti Amina.
Baba mzazi wa Amina akishuhudia jinsi biti yake alivyofunguliwa katika mateso ya pepo wachafu.
wazazi wa binti huyo wakiwa madhabauri na mdogo wake
Mchungaji Katunzi akionesha mkufu na kizibo ambayo binti huyo alidai kuwa ametumwa kuja kuchukulia damu.



waumini ndani ya kanisa la EAGT City Center waiomba wakiongozwa na mchungaji Katunzi hayupo pichani

Monday 16 May 2016

Waumini wametakiwa kusimamia utakatifu ambayo ndiyo njia pekee inayoweza kumasaidia mwananadamu kumwona Mungu katika maisha yako ya kila siku na hakuna anayeweza kumwona Mungu pasipo utakatifu.

Mchungaji Katunzi akifundisha neno la Mungu ndani ya kanisa la EAGT city Center katika kongamano la siku 90

Waumini wakifuatilia kwa makini maombi na maombezi yanayoongozwa na mchungaji Katunzi.

Friday 6 May 2016

Total Pageviews

Eagt City Centre Blog 2013. Powered by Blogger.

About Me

My photo
Jicho langu latoka machozi lisokome,wala haliachi;Hata BWANA atakapoangalia. Nakutazama toka mbinguni Maombolezo 3:49-50

Followers

Featured Posts

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget