Saturday 17 August 2013

Waumini wakimsikiliza Rev. Katunzi katika Ibada ya Ukombozi na Urejesho.


Ibada ya jioni kuanzia saa Tisa ni Ibada ya Maombezi kwa kila mmoja.


Baada ya siku 13 ya Maombi ya Urejesho, sasa ni wiki 21 za Urejesho na Ukombozi, Bwana Yesu anakwenda kufanya MGUSO WA PILI katika Maisha yako. Inawezekana Mguso wa kwanza haukupata majibu kamili Usipitwe na Mguso huu wa Pili.   Marko 8:22-26

0 comments:

Post a Comment

Total Pageviews

Eagt City Centre Blog 2013. Powered by Blogger.

About Me

My photo
Jicho langu latoka machozi lisokome,wala haliachi;Hata BWANA atakapoangalia. Nakutazama toka mbinguni Maombolezo 3:49-50

Followers

Featured Posts

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget