Monday 16 May 2016


Mchungaji Katunzi akifundisha neno la Mungu ndani ya kanisa la EAGT city Center katika kongamano la siku 90

Waumini wakifuatilia kwa makini maombi na maombezi yanayoongozwa na mchungaji Katunzi.



 Mchungaji Katunzi akiongoza waumini katika maombi na maombezi.



 Maombi na maombezi yakiongozwa na mchungakji Katunzi ambapo anatoa mwaongozo.




 Kusimama katika nafasi yako ya kiihuduma ili maisha yako yaende vizuri.






:Wengi wamethibitisha kufunguliwa katika maisha yako.

0 comments:

Post a Comment

Total Pageviews

Eagt City Centre Blog 2013. Powered by Blogger.

About Me

My photo
Jicho langu latoka machozi lisokome,wala haliachi;Hata BWANA atakapoangalia. Nakutazama toka mbinguni Maombolezo 3:49-50

Followers

Featured Posts

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget