mchungaji Rachael Katunzi kushoto ndani ya kanisa la EAGT wakifuatilia neno
Mwanamke wa alipoanguka na kuanza kuombewa na mchungaji Katunzi.
Shika madhabahu ili upokee uponyaji wako.
mwanamke ambaye alivinjika mkona na haikuunga kwa muda mrefu na ndipo mchungaji akimwombea.
mtu ambaye ana matatizo ya miguu akiombewa na mchungaji katunzi
mchungaji Rachael Katunzi akimwombea mtoto amabaye alianguka
zoezi la maombi na maombezi yakiendelea ndani ya kanisa la EAGT City Center
0 comments:
Post a Comment