Wale walio wa Bwana, watamuabudu Bwana katika roho na kweli. Ibada ya kwanza iliyoanza saa moja na nusu leo.
Rev. Katunzi (aliyeshika mic phone amevaa suti kushoto) akiwa madhabahuni pa Bwana akiongoza sala ya toba kwa waliamua kumpe Bwana maisha yao siku ya leo.
Rev. F. J . Katunzi akiombea waliookoka siku ya leo.
Mwalimu Busara, Mtaalamu wa uchumi na uwekezaji, akifundisha juu ya uchumi na uwekezaji leo asubuhi, Jitahidi sana upate hili somo ni zuri sana na kuna vitabu vyake na dvd, wiki ijayo atakuwa anamaliza somo hili. Hapa anaseama " Fedha ndogo inaleta fedha kubwa pia kulinda fedha yako ni wakati wa kununu vitu wakati vimeshuka bei kama viwanja na hisa za bank, kwenye biblia Yusufu alinunua vitu wakati vimeshuka bei wakati uchumi umeshuka".
Mwl. Busara akiendelea, hapa anasema " Hivi rubani wa ndege anaweza kwenda kuomba ushauri wa kurusha ndege kwa msukuma mkokoti "? akama unasumbuliwa na uchumu mtafute mwl. Busara atakusaidia sana katika biashara yako, atakupa misingi ya biashara ya uchumi ambayo ujawahi kusikia popote.
Sunday 21 July 2013
- 00:51
- Pastor Katunzi
- No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment