Katika Ibada ya urejesho Rev. Katunzi akiombea mtu mmoja mmoja katika ibada ya 3 |
Watu wakipanga mstari teyari kwa kuombewa na kurejeshewa |
Mpaka watoto waliwekewa mkono ili wawe na ulinzi wa Mungu |
Watu walizidi kujipanga kwenye mstari. |
Watu wengi walifunguliwa kutoka kwenye roho za mauti, magonjwa, kutokuolewa na shida mbali mbali.(Upande wa operation) |
Watu walijaa mpaka nje ya ukumbi. |
Rev. F J KATUNZI, Mchungaji kiongozi wa kanisa la Eagt city centre akihubiri neno la leo la ibada ya 3 ya maombi na maombezi ya urejesho. |
Muimbaji wa nyimbo za injili anayevuma na wimbo unaoitwa HAKUNA KAMA, akimsifu Mungu kwa urejesho unaoendelea kuonekana kila siku kanisani hapa. |
Akina mama, vijana na wazee wakimsifu Mungu kwa kuwatendea mema katika kipindi hiki cha mombi ya urejesho yanayoendelea na leo ni sehemu ya kumi na mbili. |
0 comments:
Post a Comment