Sunday 21 July 2013

Katika Ibada ya urejesho Rev. Katunzi akiombea mtu mmoja mmoja katika ibada ya 3

Watu wakipanga mstari teyari kwa kuombewa na kurejeshewa



Mpaka watoto waliwekewa mkono ili wawe na ulinzi wa Mungu

Watu walizidi kujipanga kwenye mstari.




Watu wengi walifunguliwa kutoka kwenye roho za mauti, magonjwa, kutokuolewa na shida mbali mbali.(Upande wa operation)
Watu walijaa mpaka nje ya ukumbi.

Rev. F J KATUNZI, Mchungaji kiongozi wa kanisa la Eagt city centre akihubiri neno la leo la ibada ya 3 ya maombi na maombezi ya urejesho.
Muimbaji wa nyimbo za injili anayevuma na wimbo unaoitwa HAKUNA KAMA, akimsifu Mungu kwa urejesho unaoendelea kuonekana kila siku kanisani hapa.
1


Akina mama, vijana na wazee wakimsifu Mungu kwa kuwatendea mema katika kipindi hiki cha mombi ya urejesho yanayoendelea na leo ni sehemu ya kumi na mbili.
   
Hakuna kama wewe Bwana Yesu. USIKOSE JUMAPILI IJAYO TAREHE 28TH JULY MAOMBI NA MAOMBEZI YA UREJESHO YANAENDELEA, LETA WAGONJWA NA WATU WOTE WENYE SHIDA MBALIMBALI BWANA YESU ATAWAFUNGUA NA KUWAPONYA KABISA. TUKO CHUO CHA UTALII -TANDIKA KONA YA BANDARI.








0 comments:

Post a Comment

Total Pageviews

Eagt City Centre Blog 2013. Powered by Blogger.

About Me

My photo
Jicho langu latoka machozi lisokome,wala haliachi;Hata BWANA atakapoangalia. Nakutazama toka mbinguni Maombolezo 3:49-50

Followers

Featured Posts

Popular Posts

Recent Posts

Text Widget