Zoezi hili lilifanikiwa kwa asilimi 100 ambapo wanawake hawa walifanikiwa kununua GARI hili ambalo lilikabidhiwa kwa Mchungaji wa kanisa hili Florian Katunzi na aliyekuwa mgeni rasmi wa sherehe hiyo ambaye ni Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda.
Picha za gari kabla ya kukabidhiwa.
Viongozi wa WWI ambao ndio walianzisha wazo hili na kulitekeleza kwa kusimamia, kuhamasisha changizo mpaka kukamilika kwa jambo hili |
Makamu mwenyekiti Grace Masebo akijadiliana jambo na Katibu Imani Mbaga. |
Mhazini wa chama Ester Mpepo wa tatu kushoto akiwa na baadhi ya viongozi na wanakamati wa sherehe. |
Mwenyekiti WWI city center Christina Mgaya akimlaki mgeni rasmi. |
Mhazini wa WWI Estha Mpepo akisalimiana na mgeni rasmi. |
Mchungaji Flrian Katunzi akiongozana na viongozi katika kumlaki mgeni rasmi. |
Mchungaji Florian Katunzi na mkewe wakiwa wameambatana na mgeni rasmi |
Wanawake na mabinti waliovalia sare maridadi wakimpokea mgemi rasmi. |
Mwenyekiti Christina Mgaya akisoma risala mara baada ya kumkaribisha mgeni rasmi. |
Mgeni rasmi akiwa na Mama Mchungaji Katunzi wakisikiliza risala kwa makini. |
Mchungaji Katunzi akiwa na meza kuu huku akiwa ameambatana na Mzee Kiongozi Bw. Mbaga wa kwanza kushoto. |
Mwenyekiti akimkabidhi mgeni rasmi risala |
Mwenyekiti akipena mkono na Mchungaji Katunzi maara baada ya kukabidhi risala. |
Mwimbaji wa nyimbo za injili Bahati Bukuku akiimba mara baada ya mwenyekiti kumaliza kusoma risala. |
Mgeni rasmi akielekea mahali lilipo gari tayari kwa kumkabidhi Mchungaji Katunzi. |
Mgeni rasmi akikata utepe |
Mgeni rasmi akiwa ameshikwa funguo za gari |
Mgeni rasmi tayari kufungua gari |
Mchungaji Katunzi na mkewe wakitoa ahadi kwa ajili ya ujenzi wa nyumba yao . |
Mchungaji Katunzi akielekezwa jambo la mgeni rasmi |
Mchungaji Katunzi ndani ya LANDCRUZER V8 mara baada ya kukabidhiwa.. |
Mgeni rasmi akielekezwa jambo na Mc kabla ya kuanza kuzungumza. |
Mzee Kiongozi Bw. Mbaga akiwa na mkewe wakati wa kutoa ahadi yao. |
Mwenyekiti mstaafu wa WWI na mzee wa kanisa Mama Kuchu akiahidi. |
Katibu wa kanisa Bwa. Gideon akiahidi. |
Mzee wa Kanisa na pia mlezi wa kwaya ya Majestic Bw. Zegezege akipeana mkono na mgeni rasmi mara baada ya kutoa ahadi yake. |
Mwenyekiti akiahidi |
Katibu Grace Masebo akiwa na mumewe nao pia waliahidi. |
Waumini mbalimbali waliojitokeza na kuahaidi.
Pamoja kufanya zoezi hili la changizo kwaajili ya ujenzi wa nyumba ya Mchungaji bado WWI waliona si vema wakamtegemeza Mchungaji peke yake kwani wapo viongozi wengine ambao huambatana nae madhabahuni ambao nao walipewa zawadi ya shamba la eka moja kwa kila mmoja
Mgeni rasmi akipokea zawadi iliyoandaiwa maalumu kwa ajili yake. |
Mara baada ya zoezi hilo kuisha mgeni rasmi aliomba kuondoka kutokana na kuwa na majukumu mengi ya kikazi lakini kabla hajaondoka mchungaji alimfanyia maombi. |
Bufee ya watu ya 3000 waliohudhuria sherehe hiyo.. |
Na huu ndio ukumbi wa V.I.P |
Mchungaji akiwana wageni waalikwa katika chakula cha pamoja |
0 comments:
Post a Comment